Mfumo wa Utawala
Jiografia, Habari ya Idadi ya Watu
Mila, Tamaduni

Sera za uhamiaji

Afya, Kazi, Elimu

Huduma, Taasisi, Ushauri
Uko hapa:  Mila - Tamaduni –Vyakula / Mchanganyiko wa Kidini

Mchanganyiko wa Kidini

Kanisa la Kigiriki la Othodoksi ni fundisho linalowakilisha idadi kubwa ya watu nchini Ugiriki, na inatambulika kikatiba kama ‘dini inayofuatwa’ na taifa. Dini nyingine kubwa katika Ugiriki ni Ukatoliki, Uislamu na Uprotestanti.

Katiba ya Ugiriki katika sehemu II: mahusiano baina ya kanisa na serikali, Ibara 3 inataja:

    Dini inayofuatwa katika Ugiriki ni ile ya kanisa la Kristu la Othodoksi la Kimashariki. Kanisa hilo la Ugiriki, likimtambua Yesu Kristo wetu kama kichwa chake, imefungamanishwa na fundisho la Kanisa Kuu la Kristo katika Konstantinopile na kwa kila Kanisa Lingine la Kristo lenye mafundisho sawa. Linashikilia bila kusita, kama wanavyofanya, utume mtakatifu, na mila za kidini, na inasimamiwa na Sinodi Mtakatifu wa Maaskofu wanaohudumu, na Mtakatifu Sinodi wa kudumu, likianzishwa na kujumuika kama ilivyoelekezwa katika Mkataba wa Kisheria wa Kanisa, chini ya masharti ya mfumodume wa Tome wa Juni 29, 1850, na Sheria ya Sinodi ya Mkataba wa Septemba 4, 1928.

Rudi
Mradi wa 1.4.b/13 ‘Matangazo ya Redio ya masuala kuhusiana na wahamiaji, uzazi, na usambazaji mpana wa vifaa vilivyochapishwa, vya sauti na vielelezo’ ulifadhiliwa 95% na Hazina ya Jumuiya na 5% na Rasilimali za Kitaifa